• А
  • Б
  • В
  • Г
  • Д
  • Е
  • Ж
  • З
  • И
  • К
  • Л
  • М
  • Н
  • О
  • П
  • Р
  • С
  • Т
  • У
  • Ф
  • Х
  • Ц
  • Ч
  • Ш
  • Э
  • Ю
  • Я
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
  • #
  • Текст песни Lava Lava - Inatosha

    Просмотров: 1
    0 чел. считают текст песни верным
    0 чел. считают текст песни неверным
    Тут находится текст песни Lava Lava - Inatosha, а также перевод, видео и клип.

    Akinipenda mama inatosha
    Akinipenda baba inatosha
    Akinipenda mama inatosha
    Akinipenda baba inatosha eh eh

    Mwanzo nilikuwa sijui
    Nilihadithiwa na mababu
    Mwanzo nilikuwa sijui mapenzi
    Niliyasoma kwa vitabu
    Sasa nimekuwa nimejua mapenzi uchizi
    Yule unayempenda ndo anakunyima usingizi
    Kwake moyo unautua bila ikipingamizi
    Na kesho anakuzingua mapenzi ya siku hizi

    Unatuma message mchana anajibu usiku
    Unatuma message usiku anajibu mchana
    Unatuma message mchana anajibu usiku
    Mapenzi unamwona online anachat
    Na kukujibu hataki
    Anaposti yuko kwa party na marafiki
    Sasa niko single naenjoy
    Niko single naenjoy

    Mwenzenu niko single naenjoy
    Bora niko single naenjoy
    Nikitaka kwenda kibeach
    Naenda naparty mpaka asubuhi
    Afu siulizwi ooh
    Naenda naparty mpaka asubuhi
    Nikitaka kwenda tipsy
    Naenda naparty mpaka asubuhi
    Element samaki samaki
    Naenda naparty mpaka asubuhi

    Juliana Liquidi oooh
    Ooh shobo (Ricardo Momo)
    Sitaki Shobo (Don Fumbwe)
    Ooh shobo (Msalimie mkubwa Fela na babu Tale)
    Sitaki Shobo na mapenzi (Don Mendez mahela)
    Sitaki Shobo na mapenzi
    Bora kila mtu kivyake
    Mwenzenu mi siwezi naona bora niache
    Yasije nitokea puani

    Mkingombana kidogo kammiss ex wake
    Na wanachat na kuview status zake
    Wakumbushie zamani naa.
    Makopa kopa wanatumiani
    Emoji za makopa eti kucommentiana
    Makopa kopa wanatumiani
    Emoji za makopa eti kucommentiana
    Ukiniona nacheza mziki usidhani nina mawazo
    Jamani kuwa single raha
    Ukiona navuta shisha usidhani nina mastress

    Wala na enjoy raha
    Ukiniona nakunywa Hennessy usije dhani nina msongo
    Jamani usingle raha
    Ukiniona nangonga Kvant usije kanihamada
    Jamani kuwa single raha, niacheni mwenzenu
    Sasa niko single naenjoy
    Niko single naenjoy
    Mwenzenu niko single naenjoy
    Bora niko single naenjoy
    Nikitaka kwenda Dubai

    Naenda naparty mpaka asubuhi
    Kitambaa cheupe kwetu pazuzi ooh
    Naenda naparty mpaka asubuhi
    Ka unapepeta msondo ngoma
    Naenda naparty mpaka asubuhi
    Sio fute fute la jasho
    Naenda naparty mpaka asubuhi
    Uhuru picky, party pointy
    Jangwani sea breeze, the baze tucheze wote
    Komboa komboa saga, saga kisigino

    Komboa komboa saga, isagie kwa juu
    Komboa komboa saga, sagia kwa chini chini
    Ah ah ah, saa hivi inatakiwa tusage viuno jamani
    Aya twende, komboa komboa saga
    Shikilia dera
    Komboa komboa saga
    Zungusha acha kumwera
    Komboa komboa saga
    Kata tutunze mahela
    Akinipenda mama inatosha

    Опрос: Верный ли текст песни?
    ДаНет