• А
  • Б
  • В
  • Г
  • Д
  • Е
  • Ж
  • З
  • И
  • К
  • Л
  • М
  • Н
  • О
  • П
  • Р
  • С
  • Т
  • У
  • Ф
  • Х
  • Ц
  • Ч
  • Ш
  • Э
  • Ю
  • Я
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
  • #
  • Текст песни Maarifa - Birthday

    Просмотров: 2
    0 чел. считают текст песни верным
    0 чел. считают текст песни неверным
    Тут находится текст песни Maarifa - Birthday, а также перевод, видео и клип.

    Hehehe
    Mtoto wa baba
    Happy birthday to me
    Naitwa maarifa


    M na a - a na r - i - f - a
    K - I - B - A - H - A
    Finest hey
    Nawazungusha wazungu hata
    Naona yupo pale ujugu hapa


    Napeta
    Hata maubani wakileta
    Hata waubani akisepa
    Hata mchangani napeta
    Hasa kiundani navesha
    Hata siutani naleta

    Samaki wanaishi majini ila msidhani wanakesha

    I spit fact for bars baadhi wakitaa uzushi
    Muda wa malisho kwahiyo bandan nawatoa mbuzi
    Natoka pwani maji ya bahari yamenitoa nuksi
    Mdomo unaotoa salamu unaweza pia ukatoa na tusi


    Maarifa senior ita ma-young natoa lecture
    Wazingatie mwisho wa pindi natoa paper
    Napata bure kule ambako mnatoa pesa
    Maarifa na kibaha utasema mtwara na bakhresa


    Mnahimiza wafu wawe hai
    Mmeagiza barafu na chai
    Inaumiza kuona wanyonge wananyongwa na wanyonga tai
    Salam yero sobai muziki kero haifai
    Wasanii na undugu wa samaki wakukutana ndani ya karai


    Siunajua tena kazi ya macho huenda na shingo
    Waringaji wanamaringo mwindaji uenda na windo
    Siunajua tena tiba ya mganga uenda na nyimbo
    Hii birthday ya mchanaji inaenda na mitindo


    Rudi kwenye madada shujaa kazaliwa pale leo
    Ni hatari zaidi ya mkulima ale pembejeo
    Haujui vocal haujui soko haujui moto
    Haujui chocho haujui msoto haujui
    Haujui nyokoo unaleta utundu na mipasho
    Haujui utamu wa hela yangu unaleta uchugu wa jasho


    Shukrani mungu baba shukrani mama
    Shukrani kaka dada shukrani sana
    Walionilea wakaniombe
    Na walionitupa mtoni wakasema wananifunza ogelea
    Shukrani sasa nikomoto wanakubali nimezaliwa
    Shukrani hata changamoto sio dosari ni majaliwa
    Shukrani na sikitoto maana kisanga kumenoga
    Ni hatari zaidi ya kusikia mganga wako amerogwa


    Mlio karibu sogeeni home mtakula keki
    Na nyie wa mbali sio kesi mtakula verse


    Hehehe
    Naitwa maarifa

    Опрос: Верный ли текст песни?
    ДаНет