• А
  • Б
  • В
  • Г
  • Д
  • Е
  • Ж
  • З
  • И
  • К
  • Л
  • М
  • Н
  • О
  • П
  • Р
  • С
  • Т
  • У
  • Ф
  • Х
  • Ц
  • Ч
  • Ш
  • Э
  • Ю
  • Я
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
  • #
  • Текст песни Marioo - Unanionea

    Просмотров: 2
    0 чел. считают текст песни верным
    0 чел. считают текст песни неверным
    Тут находится текст песни Marioo - Unanionea, а также перевод, видео и клип.

    Hivi kweli yupo
    Mwenye roho mbaya kukushinda
    Maana mi sijaona Duniani
    Hivi kweli yupo
    Aso na haya kukushinda
    Maana mie sijaona sijaona
    We mtu gani uko radhi mwenzako ateketee
    Wakati unajua dawa yake
    Ni kumponya, nihurumie
    Ama mtu gani aliefika akaongeza makeke
    Na wakati anajua mi kwako ndo napona,
    We nihurumie
    Mi najua mapenzi
    Sio kwichi kwichi tu
    Yanayonogaga mazoea Nimekuzoea mmmh
    Unanionea, mwenzako siwezi matukio mazito
    Unanionea, unanipiga mie
    Unanionea, unafanya niamini mapenzi mabaya
    Unanionea, lalalaa mmmmh
    Na kama kuachana nakubali
    Sawa fanya yako
    Ila sio lazima unionyeshe uniumize
    Au kisa unajua
    Unaniacha bado nakuhitaji
    Ndo unaona bora unikomeshe Unilize eeeh
    Ah poa poa,
    Nishajua vya utamu Vinakuwaga vya uchungu
    Ili doa doa milima haikutani
    Japo najua mapenzi
    Sio kwichi kwichi tu
    Yanayonogaga mazoea
    Nimekuzoea mmmh
    Unanionea, mwenzako siwezi matukio mazito
    Unanionea, unanipiga mie
    Unanionea, unafanya niamini mapenzi mabaya
    Unanionea, lalalaa
    Unanionea, unanionea bure
    Hata Bonga anajua unanionea
    Chino anajua, unanionea

    Опрос: Верный ли текст песни?
    ДаНет