• А
  • Б
  • В
  • Г
  • Д
  • Е
  • Ж
  • З
  • И
  • К
  • Л
  • М
  • Н
  • О
  • П
  • Р
  • С
  • Т
  • У
  • Ф
  • Х
  • Ц
  • Ч
  • Ш
  • Э
  • Ю
  • Я
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
  • #
  • Текст песни Ben Pol - Maneno

    Просмотров: 1
    0 чел. считают текст песни верным
    0 чел. считают текст песни неверным
    Тут находится текст песни Ben Pol - Maneno, а также перевод, видео и клип.

    Ooh aah ooh aah aah ee
    Ooh aah ooh aah aah eeeh
    Ooh aah ooh aah aah eeeh
    Ooh aaaahh
    Kila siku ninapoamka
    Ninapoianza siku mpya
    Namshukuru Mola kwa kunilinda
    Nafasi nyingine nikapewa
    Labda nikijituma
    Na mi iko siku ataniletea
    Na mi niwe na vyangu
    Niepuke ya walimwenguu
    Kukicha ni maneno maneno
    Wenzangu hamuishi kusema
    Na mi sijali yenu maneno
    Mwanadamu amezaliwa anasema
    Kukicha ni maneno maneno
    Wenzangu hamuishi kusema
    Na mi sijali yenu maneno
    Mwanadamu amezaliwa anasema
    Eeh eeh eeeh oooh
    Kukosa kitu leo sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini Nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia
    Kukosa kitu kwangu sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini Nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia.
    Eeeeh eeh
    Hawajui kuhisi kwa upendo
    Amani na furaha Siku zote
    Maisha yetu ni uadui tu
    Hatujui dunia tunayopita tu
    Na kwenye maisha kuna kuanguka
    Ila mi sitachoka nitainuka
    Mpaka siku itakapofika
    Ndoto zangu zote kukamilika
    Na kwenye maisha kuna kuanguka
    Ila mi sitachoka nitainuka
    Mpaka siku itakapofika
    Ndoto zangu zote kukamilika
    Mmmh
    Na kukicha ni maneno maneno
    Wenzangu hamuishi kusema
    Na mi sijali yenu maneno
    Mwanadamu amezaliwa anasema
    Kukicha ni maneno maneno
    Wenzangu hamuishi kusema
    Na mi sijali yenu maneno
    Mwanadamu amezaliwa anasema
    Eeh eeh eeeh oooh
    Kukosa kitu leo sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia
    Kukosa kitu kwangu sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia
    Kukosa kitu leo sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia
    Kukosa kitu kwangu sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia
    Kukosa kitu leo sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia
    Kukosa kitu kwangu sio tatizo
    Nikitafuta nitapata kesho
    Naamini nami ataniletea
    Pamoja na magumu ninayopitia

    Опрос: Верный ли текст песни?
    ДаНет